Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 16:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 kiisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, nifanye nini nipate kuokoka?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, “Waheshimiwa, nifanye nini nipate kuokoka?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, “Waheshimiwa, nifanye nini nipate kuokoka?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Halafu aliwaongoza nje, akawauliza, “Waheshimiwa, nifanye nini nipate kuokoka?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Kisha akawaleta nje akisema, “Bwana zangu, nifanye nini nipate kuokoka?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Kisha akawaleta nje akisema, “Bwana zangu, nifanye nini nipate kuokoka?”

Tazama sura Nakili




Matendo 16:30
16 Marejeleo ya Msalaba  

Zaeni bassi matunda yaipasayo toba;


Wa kheri wenye rehema: maana hawo watarehemiwa.


Nao makutano wakamwuliza wakinena, Tufanyeni, bassi?


Sisi nasi tu wana Adamu hali moja na ninyi; twawakhubiri khabari njema mgenke na kuyaacha mambo haya ya ubatili na kumwelekea Mungu aliye hayi, aliyeumba mbingu na inchi na bahari na vitu vyotc vilivyomo:


Akamfuata Paolo na sisi, akipiga kelele, akisema, Watu hawa ni watumishi wa Mungu aliye juu, wenye kutukhubiri njia ya wokofu.


Nae akiisha kupata amri hii akawatupa katika chumba cha ndani, akawafunga miguu kwa mkatale.


Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu?


Nikasema, Nifanye nini, Bwana? Bwana akaniambia, Simama, uende hatta Dameski, na huko utaambiwa khabari za mambo vote yaliyoamriwa uyafanye.


Lakini simama, uingie mjini, utaambiwa yatakayokupasa kutenda.


Maana hukumu haina huruma kwake yeye asiyeona huruma. Na huruma hujitukuza juu ya hukumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo