Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 16:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

28 Paolo akapaaza sauti yake kwa uguvu, akisema, Usijidhuru, kwa maana sisi sote tupo hapa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Lakini Paulo akaita kwa sauti kubwa: “Usijidhuru mwenyewe kwa maana sisi sote tuko hapa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Lakini Paulo akaita kwa sauti kubwa: “Usijidhuru mwenyewe kwa maana sisi sote tuko hapa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Lakini Paulo akaita kwa sauti kubwa: “Usijidhuru mwenyewe kwa maana sisi sote tuko hapa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Lakini Paulo akapaza sauti kwa nguvu, akisema, “Usijidhuru kwa maana sisi sote tuko hapa!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Lakini Paulo akapiga kelele kwa sauti kubwa, akasema, “Usijidhuru kwa maana sisi sote tuko hapa!”

Tazama sura Nakili




Matendo 16:28
15 Marejeleo ya Msalaba  

bali mimi nawaambieni, Wapendeni adui zenu, wabarikini wanaowalaani, watendeni mema wanaowachukia, waombeeni wanaowatendea ukorofi, na kuwatesa;


Yesu akajibu, akasema, Acheni kadiri hii. Akamgusa sikio, akamponya.


Yesu akasema, Baba, uwasamehe, kwa maana hawajui watendalo. Wakagawanya nguo zake, wakipiga kura.


Yule mlinzi wa gereza akaamka, akaona ya kuwa milango ya gereza imefunguka, akafuta upanga wake, akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wamekimbia.


Akataka taa ziletwe, akarukia ndani, akitetemeka kwa khofu, akawaangukia miguu Paolo na Sila;


Angalieni mtu awae yote asimlipe mwenziwe mabaya kwa mabaya; bali siku zote lifuateni lililo jema, ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo