Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 16:27 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

27 Yule mlinzi wa gereza akaamka, akaona ya kuwa milango ya gereza imefunguka, akafuta upanga wake, akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wamekimbia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

27 Askari wa gereza alipoamka na kuiona milango ya gereza imefunguliwa, alidhani kwamba wafungwa wote walikuwa wametoroka, na hivyo akauchomoa upanga wake, akataka kujiua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

27 Askari wa gereza alipoamka na kuiona milango ya gereza imefunguliwa, alidhani kwamba wafungwa wote walikuwa wametoroka, na hivyo akauchomoa upanga wake, akataka kujiua.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

27 Askari wa gereza alipoamka na kuiona milango ya gereza imefunguliwa, alidhani kwamba wafungwa wote walikuwa wametoroka, na hivyo akauchomoa upanga wake, akataka kujiua.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

27 Yule mkuu wa gereza alipoamka na kuona milango ya gereza iko wazi, akachomoa upanga wake akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wote wametoroka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

27 Yule mkuu wa gereza alipoamka na kuona milango ya gereza iko wazi, akachomoa upanga wake akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wote wametoroka.

Tazama sura Nakili




Matendo 16:27
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akavitupa vile vipande vya fedha katika patakatifu, akaondoka; akaenda, akajinyonga.


Na Herode alipomtafuta, asimwone, akawauliza walinzi, akaamuru wanawe. Nae akatelemka kutoka Yahudi kwenda Kaisaria, akakaa huko.


Paolo akapaaza sauti yake kwa uguvu, akisema, Usijidhuru, kwa maana sisi sote tupo hapa.


Yule mlinzi wa gereza akamwarifu Paolo maneno haya ya kama, Makadhi wametuma watu kuwafungulieni! bassi, sasa tokeni nje, enendeni zenu kwa amani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo