Matendo 16:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192120 wakawachukua kwa makadhi, wakasema, Watu hawa wanataharakisha mji wetu, nao ni Wayahudi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Wakawashtaki kwa mahakimu wakisema, “Watu hawa ni Wayahudi na wanafanya fujo katika mji wetu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Wakawashtaki kwa mahakimu wakisema, “Watu hawa ni Wayahudi na wanafanya fujo katika mji wetu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Wakawashtaki kwa mahakimu wakisema, “Watu hawa ni Wayahudi na wanafanya fujo katika mji wetu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Baada ya kuwafikisha mbele ya mahakimu wakawashtaki wakisema, “Hawa watu wanaleta ghasia katika mji wetu, nao ni Wayahudi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Baada ya kuwafikisha mbele ya mahakimu wakawashtaki wakisema, “Hawa watu wanaleta ghasia katika mji wetu, nao ni Wayahudi. Tazama sura |