Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 16:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Mtu huyo alishuhudiwa na ndugu waliokaa Lustra na Derbe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Timotheo alikuwa na sifa kubwa kati ya wale ndugu wa Lustra na Ikonio.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Timotheo alikuwa na sifa kubwa kati ya wale ndugu wa Lustra na Ikonio.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Timotheo alikuwa na sifa kubwa kati ya wale ndugu wa Lustra na Ikonio.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Alikuwa amesifiwa sana na wale ndugu waliokuwa wameamini huko Listra na Ikonio

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Alikuwa amesifiwa sana na wale ndugu waliokuwa wameamini huko Listra na Ikonio

Tazama sura Nakili




Matendo 16:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Siku zile akasimama Petro kati ya wanafunzi, akasema (jumla ya majina ilipata mia na ishirini),


Nao wakawakungʼutia mavumbi ya miguu yao, wakaenda Ikonio.


IKAWA huko Ikonio wakaingia pamoja katika sunagogi ia Wayahudi, wakanena; hatta jamaa kubwa ya Wayahudi na ya Wayunani wakaamini.


Hatta walipokwisha kuikhubiri Injili katika niji ule, na kupata wanafunzi wengi, wakarejea hatta Lustra na Ikonio na Antiokia,


bassi, wakapata khabari wakakimbilia miji ya Lukaonia. Lustra na Derbe, na inchi zilizo kando kando:


Nao wakatoka gerezani wakaingia nyumbani mwa Ludia; na walipokwisha kuwaona ndugu wakawafariji, wakaenda zao.


Bassi ndugu, chagueni watu saba miongoni mwenu, walioshuhudiwa kuwa wema, illi tuwaweke juu ya jambo hili:


Maana mwajua ya kuwa ametumika pamoja nami kwa ajili ya Injili, kama mwana na baba yake.


Imempasa tena kushuhudiwa mazuri na watu walio nje; asitumbukie katika lawama na mtego wa Shetani.


na kushuhudiwa kwa matendo mema; ikiwa amelea watoto, ikiwa amekaribisha wageni, ikiwa amewaosha watakatifu miguu, ikiwa amewasaidia wateswao, ikiwa amefuata killa tendo jema.


Vivyo hivyo matendo mazuri ni dhahiri; na yale yasiyo dhahiri hayawezi kusetiriwa.


tena adha zangu na mateso yaliyonipata katika Antiokia, katika Ikonio, na katika Lustra; killa namna ya adha niliyoistahimili: nae Bwana akaniokoa katika yote.


na ya kuwa tangu utoto umeyajua maandiko matakatifu, yawezayo kukuhekimisha hatta upate wokofu kwa imani iliyo katika Kristo Yesu.


Maana kwa hiyo wazee wetu walishuhudiwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo