Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 15:9 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

9 wala hakufanya tofauti kati yetu sisi na wao, akiwasafisha mioyo yao kwa imani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Hakufanya ubaguzi wowote kati yetu na wao; aliitakasa mioyo yao kwa imani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Hakufanya ubaguzi wowote kati yetu na wao; aliitakasa mioyo yao kwa imani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Hakufanya ubaguzi wowote kati yetu na wao; aliitakasa mioyo yao kwa imani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Mungu hakutofautisha kati yetu na wao, bali alitakasa mioyo yao kwa imani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Mungu hakutofautisha kati yetu na wao, bali alitakasa mioyo yao kwa imani.

Tazama sura Nakili




Matendo 15:9
24 Marejeleo ya Msalaba  

Sauti ikamjia marra ya pili, Kilichotakaswa na Mungu, usikiite najis.


Akawaambia, Mnajua ya kuwa si halali mtu aliye Myahudi aongee na mtu aliye wa taifa lingine wala kumwendea, hikini Mungu amenionya, nisimwite mtu awae yote mchafu wala najis.


Petro akafumhua kiuywa chake, akasema, Hakika nimekwisha kutambua ya kuwa Mungu hana upendeleo;


Roho akaniambia nifuatane nao, nisione mashaka. Ndugu hawa sita nao wakaenda pamoja nami, tukaingia katika nyumba ya mtu yule:


IKAWA huko Ikonio wakaingia pamoja katika sunagogi ia Wayahudi, wakanena; hatta jamaa kubwa ya Wayahudi na ya Wayunani wakaamini.


Hatta walipolika wakalikutanisha Kanisa, wakawaeleza mambo yote aliyoyafanya Mungu pamoja nao, na ya kwaruba amewafungulia mataifa mlango wa imani.


ni haki ya Mungu, ipatwayo kwa kuwa na imani kwa Yesu Kristo, huja kwa watu wote, huwakalia watu wote waaminio.


Ni nini bassi? Tu bora kuliko wengine? Hatta kidogo. Kwa maana tumekwisha kuwashitaki Wayahudi na Wayunani ya kwamba wote pia wa chini ya dhambi;


ndio sisi tulioitwa nae, si watu wa Wayahudi tu, illa watu wa mataifa pia, utasemaje?


kwa kanisa la Mungu lililo katika Korintho, lililotakaswa katika Kristo Yesu, walioitwa wawe watakatifu pamoja na wote wanaoliitia jina la Bwana wetu Yesu Kristo killa mahali, Bwana wao na wetu:


Mtu fullani ameitwa nae amekwisha kutahiriwa? asijifanye kana kwamba hakutabiriwa. Mtu fullani amekwitwa nae hajatahiriwa bado? bassi asitahiriwe.


Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote ni mmoja katika Kristo Yesu.


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno wala kutokutahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


ya kwamba mataifa ni warithi pamoja nasi wa urithi mmoja, na wa mwili mmoja, na washiriki pamoja nasi ahadi yake iliyo katika Kristo kwa njia ya injili;


Hapo hapana Myunani wala Myahudi, kutahiriwa wala kutokutahiriwa, mshenzi wala Mskuthi, mtumwa wala mungwana, bali Kristo ni yote, na katika wote.


Mkiisha kujisafisha roho zenu kwa kuitii kweli, kwa Roho, kiasi cha kuufikilia upendano usio na unafiki, bassi jitahidini kupendana kwa moyo;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo