Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 15:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Mitume na wazee wakakusanyika wapate kulifikiri neno hilo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Basi, mitume na wazee walifanya mkutano maalumu wa kuchunguza jambo hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Basi, mitume na wazee walifanya mkutano maalumu wa kuchunguza jambo hilo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Basi, mitume na wazee walifanya mkutano maalumu wa kuchunguza jambo hilo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Mitume na wazee wakakutana pamoja ili kufikiri jambo hili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Mitume na wazee wakakutana pamoja ili kufikiri jambo hili.

Tazama sura Nakili




Matendo 15:6
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kuwa wawili au watatu walipo wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.


Wakafanya hivyo, wakawapelekea wazee kwa mikono ya Barnaha na Saul.


Bassi baada ya Paolo na Barnaba kushindana na watu hawa na kuhujiana nao sana, ndugu wakaamuru kwamba Paolo na Barnaba na wengine miongoni mwao wapande kwenda Yerusalemi kwa mitume na wazee kwa khabari ya swali hilo.


Bassi ikawapendeza mitume na wazee na Kanisa lote kuwachagua watu miongoni mwao na kuwapeleka Antiokia pamoja na Paolo na Barnaba: nao ni hawa, Yuda aliyekwitwa Barsaba, na Sila, watu wakuu katika ndugu.


bassi tumeona vema tukiwa tumepatana kwa moyo mmoja, kuwachagua watu na kuwapeleka kwenu pamoja na wapendwa wetu Barnaba na Paolo,


Walipofika Yerusalemi wakakaribishwa na Kanisa na mitume na wazee, nao wakawaeleza mambo yote Mungu aliyoyafanya pamoja nao.


Bassi walipokuwa wakipita kati ya miji ile, wakawapa zile amri zilizoamriwa na mitume na wazee walioko Yerusalemi, illi wazishike.


Hatta siku ya pili yake Paolo akaingia kwa Yakobo pamoja naswi, na wazee wote walikuwako.


Wale thenashara wakawaita jamii va wanafunzi, wakasema, Haipendezi sisi kuliacha neno la Mungu na kukhudumu mezani.


Watiini walio na mamlaka juu yenu, na kujinyenyekea kwao; maana wao wanakesha kwa ajili ya roho zenu, kama watu watakaotoa hesabu, illi wafanye hivyo kwa furaha wala si kwa kuugua; maana isingewafaa ninyi.


Wakumbukeni wale waliokuwa na mamlaka juu yenu, waliowaambia neno la Mungu; tena, kwa kuuchunguza sana mwisho wa maisha zao, iigeni imani yao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo