Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 15:31 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

31 Wakausoma, wakafurahi kwa ajili ya faraja ile.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

31 Walipoisoma hiyo barua, maneno yake yaliwatia moyo, wakafurahi sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

31 Walipoisoma hiyo barua, maneno yake yaliwatia moyo, wakafurahi sana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

31 Walipoisoma hiyo barua, maneno yake yaliwatia moyo, wakafurahi sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

31 Baada ya hao watu kuisoma, wakafurahishwa sana kwa ujumbe wake wa kutia moyo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

31 Nao hao watu wakiisha kuisoma, wakafurahishwa sana kwa ujumbe wake wa kutia moyo.

Tazama sura Nakili




Matendo 15:31
8 Marejeleo ya Msalaba  

WAKASHUKA wafu waliotoka Yahudi wakawafundisha ndugu ya kama, Msipotahiriwa na kuifuata desturi ya Musa hamwezi kuokoka.


Bassi sasa mbona mnamjaribu Mungu na kuweka nira juu ya shingo za wanafunzi, ambayo baba zetu na sisi hatukuweza kuichukua.


Hatta hao wakiisha kupewa rukhusa wakatelemkia Antiokia; na baada ya kuwakusanya jamii yote wakawapa ule waraka.


Tena Yuda na Sila, kwa kuwa wao wenyewe ni manabii, wakawausia ndugu kwa maneno mengi, wakawathubutisha.


Makanisa yakatiwa nguvu kwa imani, hesabu yao ikaongezeka killa siku.


KRISTO alitufanya huru kwa uhuru; bassi, simameni, msinaswe tena kwa kifungo cha utumwa.


Maana sisi tu tohara, tumwabuduo Muugu kwa Roho, na kujisifu katika Kristo Yesu, wala hatuutumainii mwili. Walakini mimi ningeweza kuutumainia mwili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo