Matendo 15:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192119 Kwa sababu hiyo mimi naamua hivi: Tusiwataabishe wale waliomgeukia Mungu katika Mataifa: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 “Kwa hiyo, uamuzi wangu ni huu: Tusiwataabishe watu wa mataifa wanaomgeukia Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 “Kwa hiyo, uamuzi wangu ni huu: Tusiwataabishe watu wa mataifa wanaomgeukia Mungu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 “Kwa hiyo, uamuzi wangu ni huu: tusiwataabishe watu wa mataifa wanaomgeukia Mungu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 “Kwa hivyo uamuzi wangu ni kwamba, tusiwataabishe watu wa Mataifa wanaomgeukia Mungu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 “Kwa hivyo uamuzi wangu ni kwamba, tusiwataabishe watu wa Mataifa wanaomgeukia Mungu. Tazama sura |