Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 15:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Kazi zake zote zimejulika na Mungu tangu mwanzo wa ulimwengu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Ndivyo asemavyo Bwana, aliyefanya jambo hili lijulikane tangu kale.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Ndivyo asemavyo Bwana, aliyefanya jambo hili lijulikane tangu kale.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Ndivyo asemavyo Bwana, aliyefanya jambo hili lijulikane tangu kale.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 ambayo yamejulikana tangu zamani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 ambayo yamejulikana tangu zamani.

Tazama sura Nakili




Matendo 15:18
17 Marejeleo ya Msalaba  

illi litimizwe neno lililonenwa mi nabii, akisema, Nitafunua kinywa changu kwa mifano, Nitatoa mambo yaliyostirika tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu.


Kisha Mfalme atawaambia wale walio mkono wake wa kuume, Njoni, mliobarikiwa wa Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa tangu kuumbwa ulimwengu:


Nae alifanya killa taifa ya wana Adamu kuwa wa damu moja, wakae juu ya uso wa inchi yote, akiisha kuwaandikia nyakati alizowaamuru tangu zamani, na mipaka ya makazi yao;


ambae ndani yake sisi tumepata urithi, tukichaguliwa tangu awali kwa kusudi lake yeye afanyae yote kwa shauri la nia yake;


kama alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, tuwe watakatifu, wasio khatiya mbele zake, katika pendo.


na kuwaangaza watu wote, wajue khabari ya kuishiriki siri ile, ambayo tangu zamani zote ilisetirika katika Mungu, aliyeviumba vyote kwa Yesu Kristo:


Lakini imetupasa sisi kumshukuru Mungu siku zote kwa ajili yenu, ndugu, mliopendwa na Bwana, kwa kuwa Mungu amewachagua tangu mwanzo mpate wokofu, katika kutakaswa kwa Roho na kuiamini kweli,


aliyejuliwa tangu zamani, kabla haijawekwa misingi ya dunia; lakini alifimuliwa mwisho wa zamani kwa ajili yenu,


Watu wote wakaao juu ya inchi wakamsujudu, ambao majina yao hayakuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana kondoo aliyechinjwa kabla ya kuwekwa misingi ya dunia.


Yule nyama uliyemwona alikuwako, nae hayuko, nae yu tayari kupanda katika abuso na kwenda kwenye uharibifu. Nao wakaao juu ya inchi, wasioandikwa majina yao katika kitabu cha uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu, watataajabu wamwonapo yule nyama, ya kwamba alikuwako, nae hayuko, nae atakuwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo