Matendo 15:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Baada ya mambo haya nitarejea, Nami nitaijenga tena nyumba ya Daud iliyoanguka. Nitajenga tena maanguko yake, Na nitaisimamisha; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 ‘Baada ya mambo haya nitarudi, na kujenga tena kile kibanda cha Daudi kilichoanguka; nitayatengeneza magofu yake na kukijenga tena. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 ‘Baada ya mambo haya nitarudi, na kujenga tena kile kibanda cha Daudi kilichoanguka; nitayatengeneza magofu yake na kukijenga tena. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 ‘Baada ya mambo haya nitarudi, na kujenga tena kile kibanda cha Daudi kilichoanguka; nitayatengeneza magofu yake na kukijenga tena. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 “ ‘Baada ya mambo haya nitarudi, nami nitajenga upya nyumba ya Daudi iliyoanguka. Nitajenga tena magofu yake na kuisimamisha, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 “ ‘Baada ya mambo haya nitarudi, nami nitajenga upya nyumba ya Daudi iliyoanguka. Nitajenga tena magofu yake na kuisimamisha, Tazama sura |