Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 15:13 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

13 Na bao walipokwisha kunyamaza Yakobo akajibu, akinena, Ndugu zangu, nisikilizeni,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Walipomaliza kuongea, Yakobo alianza kusema: “Ndugu zangu, nisikilizeni!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Walipomaliza kuongea, Yakobo alianza kusema: “Ndugu zangu, nisikilizeni!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Walipomaliza kuongea, Yakobo alianza kusema: “Ndugu zangu, nisikilizeni!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Walipomaliza kunena, Yakobo akasema, “Ndugu zangu, nisikilizeni.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Walipomaliza kunena, Yakobo akasema, “Ndugu zangu, nisikilizeni.

Tazama sura Nakili




Matendo 15:13
15 Marejeleo ya Msalaba  

Palikuwako na wanawake wakitazama kwa mbali; katika hawa alikuwa Mariamu Magdalene, na Mariamu mama wa Yakobo mdogo na wa Yose, na Salome:


Nae akawapungia mkono wanyamaze, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa katika gereza. Akasema, Enendeni, mkampashe Yakobo na ndugu zetu khabari hizi. Akaondoka, akaenda mahali pengine.


Simeon ametueleza jinsi Mungu alivyowaangalia mataifa illi achague watu katika hao kwa ajili ya jina lake.


Lakini Petro akasimama pamoja na wale edashara, akapaaza sauti yake, akawaambia, Enyi watu wa Uyahudi, na ninyi nyote mkaao Yerusalemi, jambo hili lijulike kwenu, mkasikilize maneno yangu.


Enyi waume wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mtu aliyedhihirishwa kwenu na Mungu kwa miujiza na ajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kwa mkono wake kati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua;


Ndugu, mniwie radhi, niseme pasipo khofu mbele yenu khabari za baba yetu mkuu Daud, ya kuwa alifariki akazikwa, na kaburi lake liko kwetu hatta leo.


Hatta siku ya pili yake Paolo akaingia kwa Yakobo pamoja naswi, na wazee wote walikuwako.


ENYI wanaume, ndugu zangu ua baba zangu, nisikilizeni, nikijitetea nafsi yangu mbele yemi sasa.


Nae akasema, Ndugu zangu na baba zangu, sikilizeni: Mungu wa utukufu alimtokea baba yetu Ibrahimu, alipokuwa katika Mesopotamia, kabla hajakaa Kharran, akamwambia,


Lakini sikumwona mtume mwingine illa Yakobo ndugu yake Bwana.


kwa maana kabla hawajaja watu kadha wa kadha waliotoka kwa Yakobo, alikula pamoja na watu wa mataifa, illakini walipokuja akarudi nyuma akajitenga, akiwaogopa waliotahiriwa.


tena walipokwisha kuijua neema niliyopewa, Yakobo, na Kefa, na Yohana, wenye sifa kuwa ni nguzo, walinipa mimi na Barnaba mkono wa kuume wa shirika, illi sisi tuende kwa mataifa, na wao waende kwa watu wa tohara;


YAKOBO, mtumwa wa Mungu, na Bwana Yesu Kristo, kwa kabila thenashara zilizotawanyika, salamu,


Bassi killa mtu awe mwepesi wa kusikia, mzito wa kusema, mzito wa ghadhabu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo