Matendo 15:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192111 Bali twaamini kwamba kwa neema ya Bwana Yesu tutaokoka kama wao. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Isiwe hivyo, ila tunaamini kwamba, sisi kama vile wao, tutaokolewa kwa njia ya neema ya Bwana Yesu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Isiwe hivyo, ila tunaamini kwamba, sisi kama vile wao, tutaokolewa kwa njia ya neema ya Bwana Yesu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Isiwe hivyo, ila tunaamini kwamba, sisi kama vile wao, tutaokolewa kwa njia ya neema ya Bwana Yesu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 Lakini sisi tunaamini ya kuwa tunaokolewa kwa neema ya Bwana wetu Isa Al-Masihi, kama wao wanavyookolewa.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 Lakini sisi tunaamini ya kuwa tunaokolewa kwa neema ya Bwana Isa Al-Masihi, kama wao wanavyookolewa.” Tazama sura |