Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 14:7 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

7 wakakaa huko, wakiikhubiri Injili.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 wakawa wanahubiri Habari Njema huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 wakawa wanahubiri Habari Njema huko.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 wakawa wanahubiri Habari Njema huko.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Huko wakaendelea kuhubiri Injili.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Huko wakaendelea kuhubiri habari njema.

Tazama sura Nakili




Matendo 14:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi wale waliotawanyika kwa sababu ya ile shidda iliyotukia kwa khabari ya Stefano, wakasafiri hatta Foiniki na Kupro na Antiokia, wasilikhubiri lile neno illa kwa Wayahudi peke yao.


Sisi nasi tu wana Adamu hali moja na ninyi; twawakhubiri khabari njema mgenke na kuyaacha mambo haya ya ubatili na kumwelekea Mungu aliye hayi, aliyeumba mbingu na inchi na bahari na vitu vyotc vilivyomo:


Hatta walipokwisha kuikhubiri Injili katika niji ule, na kupata wanafunzi wengi, wakarejea hatta Lustra na Ikonio na Antiokia,


Bassi alipokwisha kuona yale maono, marra tukataka kutoka kwenda Makedonia, kwa kuwa tuliona hakika ya kwamba Bwana ametuita tuwakhubiri Injili.


Na Paolo, kama ilivyokuwa desturi yake, akaingia mle walimo, akahujiana nao kwa maneno yii maandiko sabato tatu,


Lakini wale waliotawanyika wakaenda huko na huko wakilikhubiri neno.


bali tukiisha kuteswa kwanza na kutendwa jeuri, kama mjuavyo, katika Filippi, twalithubutu katika Mungu kuinena Injili ya Mungu kwenu, kwa kuishindania sana.


likhubiri neno, fanya bidii, wakati ukufaao na wakati usiokufaa, karipia, kemea, kaonya kwa uvumilivu wote na mafundisho.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo