Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 14:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 ambae zamani zilizopita aliwaacha mataifa yote waende katika njia zao wenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Zamani Mungu aliruhusu kila taifa lifanye lilivyopenda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Zamani Mungu aliruhusu kila taifa lifanye lilivyopenda.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Zamani Mungu aliruhusu kila taifa lifanye lilivyopenda.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Zamani aliwaachia mataifa waishi walivyotaka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Zamani aliwaachia mataifa waishi walivyotaka.

Tazama sura Nakili




Matendo 14:16
10 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi zamani zile za ujinga Mungu alijifanya kama hauoni; bali sasa anawakhuhiri watu wote wa killa mahali watubu.


Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wuyafanye yasiyowapasa;


ambae Mungu amekwisha kumweka awe upatanisho kwa damu yake, kwa njia ya imani, illi aonyeshe haki yake, kwa sababu ya kuziachilia dhambi zilizotangulia, katika uvumilivu wa Mungu:


kwamba zamani zile mlikuwa hamna Kristo, mmefarakana na jamii ya Israeli, wageni, wasio wa maagano ya ahadi; mlikuwa hamna tumaini, hamna Mungu duniani.


Maana wakati wa maisha yetu uliopita watosha kwa kutenda wayapendayo mataifa, kuenenda katika uasharati, ua tamaa, na ulevi, ua karamu za ulafi, na vileo, na ibada ya sanamu isiyo halali:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo