Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 14:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Walakini mitume Barnaba na Paolo, walipopata khabari, wakararua nguo zao, wakaenda mbio wakaingia katika makutano, wakipiga kelele, wakisema, Akina hwana, mbona mnafanya haya?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Barnaba na Paulo walipopata habari hizo waliyararua mavazi yao na kukimbilia katika lile kundi la watu wakisema kwa sauti kubwa:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Barnaba na Paulo walipopata habari hizo waliyararua mavazi yao na kukimbilia katika lile kundi la watu wakisema kwa sauti kubwa:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Barnaba na Paulo walipopata habari hizo waliyararua mavazi yao na kukimbilia katika lile kundi la watu wakisema kwa sauti kubwa:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Lakini mitume Paulo na Barnaba waliposikia haya, wakararua nguo zao, wakawaendea wale watu kwa haraka, wakawapigia kelele, wakisema,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Lakini mitume Paulo na Barnaba waliposikia haya, wakararua nguo zao, wakawaendea wale watu kwa haraka, wakawapigia kelele, wakisema,

Tazama sura Nakili




Matendo 14:14
11 Marejeleo ya Msalaba  

Marra kuhani mkuu akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru: tuna haja gani ya mashahidi wengine? Sasa mmesikia kufuru yake:


Kuhani mkuu akararua nguo zake, akisema, Tuna baja gani ya mashahidi wengine?


Lakini jamii ya watu wa mjini wakagawanyikana: bawa walikuwa upande wa Wayahudi, na hawa upande wa Mitume.


JE! mimi si mtume? mimi si huru? sikumwona Yesu Kristo Bwana wetu? ninyi si kazi yangu katika Bwana?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo