Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 14:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Wakamwita Barnaba, Zeu, na Paolo, Herme, kwa sababu ndiye aliyetakadamu katika kimena.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Barnaba akaitwa Zeu, na Paulo, kwa vile yeye ndiye aliyekuwa anaongea, akaitwa Herme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Barnaba akaitwa Zeu, na Paulo, kwa vile yeye ndiye aliyekuwa anaongea, akaitwa Herme.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Barnaba akaitwa Zeu, na Paulo, kwa vile yeye ndiye aliyekuwa anaongea, akaitwa Herme.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Wakamwita Barnaba Zeu na Paulo wakamwita Herme kwa kuwa ndiye alikuwa msemaji mkuu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Wakamwita Barnaba Zeu na Paulo wakamwita Herme kwa kuwa ndiye alikuwa msemaji mkuu.

Tazama sura Nakili




Matendo 14:12
3 Marejeleo ya Msalaba  

Na makutano walipoona aliyoyafanya Paolo wakapaaza sauti zao, wakisema kwa Kilukaonia, Mungu wametushukia kwa mifano ya wana Adamu.


Kuhani wa Zeu ambae hekalu lake lilikuwa mbele ya mji, akaleta ngʼombe na taji za maua hatta malangoni, akitaka kutoa dhabihu pamoja na makutano.


Na karani wa mji alipokwisha kuwatuliza watu, akasema, Enyi wanaume wa Efeso, ni mtu gani asiyejua ya kuwa mji wa Efeso ni mtunzaji wa hekalu ya Artemi, mungu mke aliye mkuu, na wa kitu kile kilichoanguka kutoka mbinguni?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo