Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 14:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Na makutano walipoona aliyoyafanya Paolo wakapaaza sauti zao, wakisema kwa Kilukaonia, Mungu wametushukia kwa mifano ya wana Adamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Umati wa watu walipoona alichofanya Paulo, walianza kupiga kelele kwa lugha ya Kilukaonia: “Miungu imetujia katika sura za binadamu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Umati wa watu walipoona alichofanya Paulo, walianza kupiga kelele kwa lugha ya Kilukaonia: “Miungu imetujia katika sura za binadamu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Umati wa watu walipoona alichofanya Paulo, walianza kupiga kelele kwa lugha ya Kilukaonia: “Miungu imetujia katika sura za binadamu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Umati ule wa watu walipoona yaliyokuwa yamefanywa na Paulo, wakapaza sauti, wakasema kwa lugha yao ya Kilikaonia, “Miungu imetushukia katika umbo la binadamu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Ule umati wa watu ulipoona yaliyokuwa yamefanywa na Paulo, wakapiga kelele kwa lugha yao ya Kilikaonia wakasema, “Miungu imetushukia katika umbo la binadamu!”

Tazama sura Nakili




Matendo 14:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Watu wakapiga kelele, wakinena, Ni sauti ya Mungu, si sauti ya mwana Adamu.


Wakamwita Barnaba, Zeu, na Paolo, Herme, kwa sababu ndiye aliyetakadamu katika kimena.


bassi, wakapata khabari wakakimbilia miji ya Lukaonia. Lustra na Derbe, na inchi zilizo kando kando:


Wakamwangalia sana wakidhani ya kuwa atavimba au kuanguka chini, amekwisha kufa kwa ghafula; na wakiisha kumwangalia sana, na kuona kwamba halimpati dhara lo lote, wakabadili fikara zao, wakasema kwamba yeye ni Mungu.


Wote wakamsikiliza kwa muda mwingi, tangu mdogo hatta mkubwa, wakisema, Mtu huyu ni nweza wa Mungu, ule mkuu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo