Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 13:52 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

52 Na wanafunzi walijaa furaha na Roho Mtakatifu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

52 Lakini hao wafuasi walikuwa wamejaa furaha na Roho Mtakatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

52 Lakini hao wafuasi walikuwa wamejaa furaha na Roho Mtakatifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

52 Lakini hao wafuasi walikuwa wamejaa furaha na Roho Mtakatifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

52 Wanafunzi wakajawa na furaha na Roho wa Mungu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

52 Wanafunzi wakajawa na furaha na Roho wa Mwenyezi Mungu.

Tazama sura Nakili




Matendo 13:52
18 Marejeleo ya Msalaba  

Furahini, shangilieni: kwakuwa thawabu yenu nyingi mbinguni; kwa maana ndivyo walivyowatesa manabii waliokuwa kabla yenu.


Na wale wanafunzi, killa mtu kwa kadiri alivyofanikiwa wakaazimu kupeleka msaada kwa ndugu zao waliokaa Yahudi.


Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha mbalimbali, kama Roho alivyowajalia kutamka.


Na siku zote kwa moyo mmoja walidumu ndani ya hekalu, wakimega mkate nyumba kwa nyumba, na kupokea chakula chao kwa furaha na kwa moyo mweupe,


Hatta walipokwisha kumwomba Mungu, pahali paie walipokusanyika pakatikiswa, wote wakajaa Roho Mtakatifu, wakanena neno la Mungu kwa uthabiti.


Nao wakatoka katika ile baraza, wakifurahi kwa sababu wamehesabiwa kuwa wamestahili kuaibishwa kwa ajili ya jina lake.


Maana ufalme wa Muugu si kula na kunywa, bali baki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu.


Bassi Mungu wa tumaini awajazeni furaha yote na amani katika kuamini, mpate kuzidi sana kuwa na tumaini, katika nguvu za Roho Mataktifu.


Wala si hivyo tu, illa twafurahi katika mateso pia, tukijua ya kuwa dhiiki, kazi yake ni kuleta uvumilivu,


maana walipokuwa wakijaribiwa kwa shidda nyingi, wingi wa furaha yao na umaskini wao uliokuwa mwingi uliwaongezea utajiri wa unyofu wao.


Lakini matunda ya Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu,


Mkawa wafuasi wetu na wa Bwana, mkiisha kulipokea Neno katika mateso mengi pamoja na furaha ya Roho Mtakatifu,


Hesabuni ya kuwa ni furaha tupu, ndugu zangu, mkiangukia katika majaribu mbalimbali;


lakini kama mnavyoyashiriki mateso va Kristo furahini; illi na katika ufimuo wa utukufu wake mfurahi kwa shangwe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo