Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 13:49 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

49 Neno la Bwana likaenea katika inchi ile yote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

49 Neno la Bwana likaenea kila mahali katika sehemu ile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

49 Neno la Bwana likaenea kila mahali katika sehemu ile.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

49 Neno la Bwana likaenea kila mahali katika sehemu ile.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

49 Neno la Bwana likaenea katika eneo lile lote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

49 Neno la Bwana Isa likaenea katika eneo lile lote.

Tazama sura Nakili




Matendo 13:49
8 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini wakatoka, wakaeneza khabari zake katika inchi ile yote.


Neno la Bwana likazidi na kuenea.


Ndipo yule liwali, alipoyaona yaliyotendeka, akaamini akiyastaajabia mafundisho ya Bwana.


Mambo haya yakaendelea kwa muda wa miaka miwili, hatta wote waliokaa Asia wakalisikia neno la Bwana, Wayahudi kwa Wayunani.


Tena mnaona na kusikia ya kwamba si katika Efeso tu, bali katika Asia yote pia, Paolo huyo amewaaminisha watu wengi na kuwageuza nia zao, akisema ya kwamba miungu inayofanywa kwa mikono siyo Mungu.


Nenu la Mungu likaenea: hesahu ya wanafunzi ikazidi sana katika Yerusalemi: jamii kubwa la makuhani wakaitii Imani.


Ikajulikana katika Yoppa, katika mji mzima, watu wengi wakamwamini Bwana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo