Matendo 13:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192132 Na sisi tunawakhubirieni ahadi ile waliyopewa baba zetu, ya kwamba Mungu ametutimizia sisi watoto wao ahadi hiyo, kwa kumfufua Yesu: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Nasi tumekuja hapa kuwaleteeni Habari Njema: Jambo lile Mungu alilowaahidia babu zetu, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Nasi tumekuja hapa kuwaleteeni Habari Njema: Jambo lile Mungu alilowaahidia babu zetu, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Nasi tumekuja hapa kuwaleteeni Habari Njema: jambo lile Mungu alilowaahidia babu zetu, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 “Nasi tunawaletea Habari Njema: kwamba yale Mungu aliyowaahidi baba zetu Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 “Nasi tunawaletea habari njema, kwamba yale Mungu aliyowaahidi baba zetu Tazama sura |