Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 13:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 Lakini Mungu akamfufua:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 Lakini Mungu alimfufua kutoka kwa wafu.

Tazama sura Nakili




Matendo 13:30
16 Marejeleo ya Msalaba  

Hayupo hapa; kwa maana amefufuka kama alivyosema. Njoni, patazameni mahali alipolazwa Bwana.


Ndio maana Baba anipenda, kwa sababu nauweka uzima wangu illi niutwae tena.


Yesu akajibu, akawaambia, Livunjeni hekalu hii, nami kwa siku tatu nitaisimamisha.


Huyu Mungu alimfufua siku ya talu, akamjalia kudhilurika,


kama ilivyoandikwa katika Zaburi ya pili, Wewe ndiwe Mwana wangu, mimi leo nimekuzaa.


Tena ya kuwa alimfufua, asipate kurudia uharibifu, amenena hivi, Nitakupa wewe mambo matakatifu ya Daud yaliyo amini.


Bali huyu aliyefufuliwa na Mungu hakuona uharibifu.


Kwa maana ameweka siku atakayowahukumu walimwengu kwa haki, kwa ujumbe wa mtu yule aliyemchagua; nae amewapa watu wote bayana ya mambo haya kwa kumfufua katika wafu.


Mungu akamfufua, akilegeza utungu wa mauti, kwa sababu haikuwezekana ashikwe nao.


Yesu huyo Mungu alimfufua, na sisi sote tu mashahidi wake.


Mungu wa Ibrahimu na Isaak na Yakobo, Mungu wa baba zetu, amemtukuza mtumishi wake Yesu, ambae ninyi mlimsaliti na kumkana mbele ya Pilato, alipokuwa ametoa hukumu yake afunguliwe.


mkamwua yule Mkuu wa uzima, ambae Mungu amemfufua: na sisi tu mashahidi wake.


Mungu, akiisha kumfufua mtumishi wake Yesu, alimtuma kwenu ninyi kwanza, illi kuwabarikini kwa kumwepusha killa mmoja wenu na maovu wake.


jueni ninyi nyote na watu wote wa Israeli ya kuwa kwa jina la Yesu Mnazareti, ambae ninyi mlimsulibisha, Mungu akamfufua, kwa jina hilo mtu huyu anasimama mzima mbele yenu.


Bassi, Mungu wa amani aliyemleta tena kutoka wafu Mchungaji wa kondoo aliye mkuu, kwa damu ya agano la milele, Bwana wetu Yesu,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo