Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 13:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Ndipo, wakiisha kuomba na kufunga, wakaweka mikono yao juu yao, wakawaacha waende zao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Basi, baada ya kusali na kufunga zaidi, wakawawekea mikono, wakawaacha waende zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Basi, baada ya kusali na kufunga zaidi, wakawawekea mikono, wakawaacha waende zao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Basi, baada ya kusali na kufunga zaidi, wakawawekea mikono, wakawaacha waende zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Ndipo baada ya kufunga na kuomba, wakawawekea mikono yao na wakawatuma waende zao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Ndipo baada ya kufunga na kuomba, wakawawekea mikono yao na wakawatuma waende zao.

Tazama sura Nakili




Matendo 13:3
18 Marejeleo ya Msalaba  

nae mjane wa miaka themanini na mine; asiyeondoka hekaluni, kwa kufunga na kusali akiabudu usiku na mchana.


Wakasali, wakasema, Wewe, Bwana, ujuae mioyo ya watu wote, tuonyeshe ni nani uliyemchagua katika hawa wawili,


Bassi hawa walipokuwa wakimkhudumia Bwana na kufunga, Roho Mtakatifu akasema, Niwekeeni Barnaba na Saul kwa kazi ile niliyowaitia.


Bassi watu hao, wakiisha kupelekwa na Roho Mtakatifu wakatelemkia Selukia, na kutoka huko wakasafiri baharini hatta Kupro.


Na walipokwisha kuchagua wazee katika killa mji, na kuomba pamoja na kufunga, wakawaweka kafika mikono ya Bwana waliyemwamini.


Na kutoka huko wakasafiri baharini kwenda Antiokia. Huko ndiko walikoombewa neema ya Mungu kwa ile kazi waliyokwisha kuitimiza.


Paolo akamchagua Sila akaondoka, akiombewa na wale ndugu, apewe neema ya Mungu.


Wakawaweka mbele ya mitume, na walipokwisha kuomba wakaweka mikono yao juu yao.


Anania akaenda zake, akaingia mle nyumbani; akamwekea mikono akisema, Ndugu Saul, Bwana amenipeleka, Yesu, yeye aliyekutokea katika njia uliyoijia, upate kuona tena, ukajazwe Roho Mtakatifu.


Tena wakhubirije, wasipopelekwa? Kama ilivyoandikwa, Ni mizuri namna gani miguu yao wakhubirio khabari ya mema.


Usiache kuitumia ile karama iliyo udani yako uliyopewa wewe kwa unabii, na kwa kuwekewa mikono ya wazee.


Usimwekee mtu mikono kwa haraka, wala usishiriki dhambi za watu wengine.


Kwa sababu hiyo nakukumbusha, uichochee karama ya Mungu iliyo ndani yako kwa kuwekewa mikono yangu.


Na yale uliyoyasikia kwangu kwa mashahidi wengi, uwakabidbi hayo watu waaminifu watakaofaa kuwafundisha na wengine.


waliokushuhudia upendo wako mbele ya kanisa; utafanya vizuri ukiwasafirisha kam a ilivyo wajibu wako kwa Mungu.


Bassi imetupasa sisi kuwakaribisha watu kama hawo, illi tuwe watendaji wa kazi pamoja na kweli.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo