Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 13:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

28 Na wasipopata sababu ya kumfisha wakamwomba Pilato auawe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato amhukumu auawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato amhukumu auawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Ingawa hawakumpata na hatia inayostahili auawe, walimwomba Pilato amhukumu auawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Ijapokuwa hawakupata sababu yoyote ya kumhukumu kifo, walimwomba Pilato aamuru auawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Ijapokuwa hawakupata sababu yoyote ya kumhukumu kifo, walimwomba Pilato aamuru auawe.

Tazama sura Nakili




Matendo 13:28
10 Marejeleo ya Msalaba  

Na alipokuwa ameketi juu ya kiti cha hukumu, mkewe alimpelekea mjumbe, kumwambia, Usiwe na neno na yule mwenye haki: kwa sababu nimeteswa mengi leo katika udoto kwa ajili yake.


Pilato akamwambia, Kweli ni kitu gani? Akiisha kusema neno hili akawatokea Wayahudi marra ya pili, akawaambia, Mimi sioni khatiya yo yote kwake.


Pilato akatokea tena nje akawaambia, Mtu huyu namleta nje kwenu, mpate kufahamu ya kuwa sioni khatiya yo yote kwake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo