Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 13:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

19 Na alipokwisha kuwaharibu mataifa saba katika inchi ya Kanaan akawajia inchi yao iwe urithi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Aliyaangamiza mataifa saba ya nchi ya Kanaani akawapa hao watu wake ile nchi kuwa mali yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Aliyaangamiza mataifa saba ya nchi ya Kanaani akawapa hao watu wake ile nchi kuwa mali yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Aliyaangamiza mataifa saba ya nchi ya Kanaani akawapa hao watu wake ile nchi kuwa mali yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Naye baada ya kuyaangamiza mataifa saba yaliyokuwa yakiishi katika nchi ya Kanaani, akawapa Waisraeli nchi yao iwe urithi wao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Naye baada ya kuyaangamiza mataifa saba waliokuwa wakiishi katika nchi ya Kanaani, akawapa Waisraeli nchi yao iwe urithi wao.

Tazama sura Nakili




Matendo 13:19
16 Marejeleo ya Msalaba  

ambayo baba zetu waliipokea; wakaiingiza pamoja na Yoshua katika milki ya mataifa wale, ambao Mungu aliwafukuza mbele ya baba zetu, mpaka siku za Daud:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo