Matendo 13:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192112 Ndipo yule liwali, alipoyaona yaliyotendeka, akaamini akiyastaajabia mafundisho ya Bwana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Yule mkuu wa kisiwa alipoona hayo, aliongoka akawa mwaamini; akastaajabia sana mafundisho aliyosikia juu ya Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Yule mkuu wa kisiwa alipoona hayo, aliongoka akawa mwaamini; akastaajabia sana mafundisho aliyosikia juu ya Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 Yule mkuu wa kisiwa alipoona hayo, aliongoka akawa mwaamini; akastaajabia sana mafundisho aliyosikia juu ya Bwana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 Yule mkuu wa kile kisiwa alipoona yaliyotukia, akaamini kwa sababu alistaajabishwa na mafundisho kuhusu Bwana Isa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 Yule mkuu wa kile kisiwa alipoona yaliyotukia, akaamini kwa sababu alistaajabishwa na mafundisho kuhusu Bwana Isa. Tazama sura |