Matendo 12:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 Bassi Petro akalindwa gerezani, sala zikawa zinafanyika kwa juhudi sana na Kanisa mbele za Mungu kwa ajili yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Kwa hiyo Petro akawekwa gerezani, lakini waumini wa Isa walikuwa wakimwombea kwa Mungu kwa bidii. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Kwa hiyo Petro akawekwa gerezani, lakini kundi la waumini lilikuwa likimwombea kwa Mungu kwa bidii. Tazama sura |