Matendo 12:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192125 Na Barnaba na Saul, walipokwisha kuitimiza khuduma yao, wakarejea kutoka Yerusalemi wakamchukua pamoja nao Yohana aitwae Marko. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema25 Baada ya Barnaba na Saulo kutekeleza huduma yao, walitoka tena Yerusalemu, wakamchukua Yohane aitwaye pia Marko. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND25 Baada ya Barnaba na Saulo kutekeleza huduma yao, walitoka tena Yerusalemu, wakamchukua Yohane aitwaye pia Marko. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza25 Baada ya Barnaba na Saulo kutekeleza huduma yao, walitoka tena Yerusalemu, wakamchukua Yohane aitwaye pia Marko. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu25 Barnaba na Sauli walipomaliza ile huduma yao iliyowapeleka, wakarudi Yerusalemu wakiwa pamoja na Yohana aitwaye Marko. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu25 Barnaba na Sauli walipomaliza ile huduma yao iliyowapeleka, wakarudi Yerusalemu wakiwa pamoja na Yohana aitwaye Marko. Tazama sura |