Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 12:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Hatta kulipopambazuka askari wakaingiwa na fadhaa nyingi, amekuwaje Petro.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kulipokucha, ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa yamempata Petro.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kulipokucha, ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa yamempata Petro.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kulipokucha, ulitokea wasiwasi mkubwa kati ya wale askari kuhusu yaliyokuwa yamempata Petro.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Kulipokucha kukawa na fadhaa kubwa miongoni mwa wale askari kuhusu yaliyomtukia Petro.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Kulipokucha kukawa na fadhaa kubwa miongoni mwa wale askari kuhusu yaliyomtukia Petro.

Tazama sura Nakili




Matendo 12:18
5 Marejeleo ya Msalaba  

Nae akawapungia mkono wanyamaze, akawaeleza jinsi Bwana alivyomtoa katika gereza. Akasema, Enendeni, mkampashe Yakobo na ndugu zetu khabari hizi. Akaondoka, akaenda mahali pengine.


Na Herode alipomtafuta, asimwone, akawauliza walinzi, akaamuru wanawe. Nae akatelemka kutoka Yahudi kwenda Kaisaria, akakaa huko.


Yule mlinzi wa gereza akaamka, akaona ya kuwa milango ya gereza imefunguka, akafuta upanga wake, akataka kujiua, akidhani ya kuwa wafungwa wamekimbia.


Hatta wakati huo kukatukia ghasia si haba katika khabari ya Njia ile.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo