Matendo 12:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Wakanena, Ni malaika wake. Petro akafuliza kugonga; hatta walipokwislia kumfungulia wakamwona, wakastaajabu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Wakati huo Petro alikuwa anaendelea kupiga hodi. Mwishowe walifungua mlango, wakamwona, wakashangaa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Wakati huo Petro alikuwa anaendelea kupiga hodi. Mwishowe walifungua mlango, wakamwona, wakashangaa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Wakati huo Petro alikuwa anaendelea kupiga hodi. Mwishowe walifungua mlango, wakamwona, wakashangaa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Lakini Petro aliendelea kugonga langoni, nao walipofungua lango na kumwona Petro, walistaajabu sana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Lakini Petro aliendelea kugonga langoni, nao walipofungua lango na kumwona Petro, walistaajabu sana. Tazama sura |