Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 11:3 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

3 Uliingia kwa watu wasiotahiriwa ukala nao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 “Wewe umekwenda kukaa na watu wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 “Wewe umekwenda kukaa na watu wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 “Wewe umekwenda kukaa na watu wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 wakisema, “Ulienda kwa watu wasiotahiriwa na kula pamoja nao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 wakisema, “Ulikwenda kwa watu wasiotahiriwa na kula pamoja nao.”

Tazama sura Nakili




Matendo 11:3
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mafarisayo walipoona, wakawaambia wanafunzi wake, Kwa nini mwalimu wenu anakula pamoja na watoza ushuru na wenye dhambi?


Mafarisayo na wandishi wakanungʼunika, wakasema, Huyu hukaribisha wenye dhambi, hula pamoja nao.


Bassi wakamchukua Yesu kutoka kwa Kayafa hatta Praitorio; ikawa alfajiri; lakini wao wenyewe hawakuingia ndani ya Praitorio, wasije wakatiwa najis, bali waile Pasaka.


Akasema, Ingieni; akawakaribisha. Hatta siku ya pili, Petro akatoka pamoja nao, na baadhi ya ndugu waliokaa Yoppa wakafuatana nae.


Akawaambia, Mnajua ya kuwa si halali mtu aliye Myahudi aongee na mtu aliye wa taifa lingine wala kumwendea, hikini Mungu amenionya, nisimwite mtu awae yote mchafu wala najis.


Bassi, tuma watu kwenda Yoppa, ukamwite Simon aitwae Petro, aje hapa; anakaa katika nyumha ya Simon, mtengenezaji wa ngozi, karibu ya pwani: nae akija atasema nawe.


Akaamuru wabatizwe kwa Jina lake Yesu Kristo. Ndipo wakamsihi azidi kukaa siku kadha wa kadha.


Lakini sasa nimewaandikieni kwamba msichangamane na mtu aitwae ndugu, akiwa mzinzi au mwenye kutamani an mwenye kuabudu sanamu au mtukanaji au mlevi au mnangʼanyi; mtu wa namna hii msikubali hatta kula nae.


kwa maana kabla hawajaja watu kadha wa kadha waliotoka kwa Yakobo, alikula pamoja na watu wa mataifa, illakini walipokuja akarudi nyuma akajitenga, akiwaogopa waliotahiriwa.


Mtu akija kwenu, nae haleti mafundisho hayo, msimkaribishe nyumbani mwenu, wala msimpe salamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo