Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 11:29 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

29 Na wale wanafunzi, killa mtu kwa kadiri alivyofanikiwa wakaazimu kupeleka msaada kwa ndugu zao waliokaa Yahudi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 Wale wanafunzi waliamua kila mmoja kwa kadiri ya uwezo wake apeleke chochote ili kuwasaidia wale ndugu waliokuwa wanaishi Yudea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 Wale wanafunzi waliamua kila mmoja kwa kadiri ya uwezo wake apeleke chochote ili kuwasaidia wale ndugu waliokuwa wanaishi Yudea.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 Wale wanafunzi waliamua kila mmoja kwa kadiri ya uwezo wake apeleke chochote ili kuwasaidia wale ndugu waliokuwa wanaishi Yudea.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 Mitume wakaamua kwamba kila mtu, kulingana na uwezo alio nao, atoe msaada kwa ajili ya ndugu wanaoishi Yudea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 Mitume wakaamua kwamba kila mtu, kulingana na uwezo alio nao, atoe msaada kwa ajili ya ndugu wanaoishi Uyahudi.

Tazama sura Nakili




Matendo 11:29
27 Marejeleo ya Msalaba  

Vilevile na yule mwenye mbili, yeye nae akachuma nyingine mbili faida.


Yesu nae akaitwa pamoja na wanafunzi wake arusini.


Siku zile akasimama Petro kati ya wanafunzi, akasema (jumla ya majina ilipata mia na ishirini),


BASSI mitume na ndugu waliokuwa katika Yahudi wakapata khabari ya kwamba watu wa mataifa nao wamelipokea neno la Bwana.


Ikawa kwa muda wa mwaka mzima wakakusanyika pamoja na kanisa na kuwafundisha watu wengi. Na wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hajio Antiokia.


Na wanafunzi walijaa furaha na Roho Mtakatifu.


Lakini wanafunzi walipokuwa wakimzunguka pande zote, akasimama, akaingia ndani ya mji; na siku ya pili yake akatoka, akaenda zake pamoja na Barnaba hatta Derbe.


wakifanya imara roho za wanafunzi na kuwaonya wakae katika imani, na ya kwamba imetupasa kuingia katika ufalme wa Mungu kwa njia ya shidda nyingi.


Baada ya miaka mingi nalifika niwaletee watu wa taifa langu sadaka na matoleo.


Wala hapakuwa na mtu mmoja miongoni mwao mwenye mahitaji; kwa sababu watu wote waliokuwa na uwanja au nyumba waliviuza, wakaileta thamani ya vitu vile vilivyouzwa


HATTA siku ziie wanafunzi walipokuwa wakiongezeka hesabu yao, palikuwa na manungʼuniko ya Wahelenisti juu ya Waebrania kwa sababu wajane wao walisahauliwa katika khuduma ya killa siku.


akala chakula, akapata nguvu. Akawa huko siku kadhawakadha pamoja na wanafunzi walioko Dameski.


Wanafunzi wakamtwaa usiku wakamshusha ukutani, wakimtelemsha katika kapu.


haukosi kuwa na adabu, hautafuti mambo yake, hauoni uchungu, hauhesabu mabaya;


illa neno moja walitutakia, tuwakumbuke maskini; na neno lilo hilo nalikuwa na bidii kulifanya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo