Matendo 11:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192122 Khabari hizo za watu hao zikafika masikioni mwa kanisa lililokuwa katika Yerusalemi: wakaintuma Barnaba, aende hatta Antiokia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Habari ya jambo hilo ikasikika kwa lile kanisa la Yerusalemu. Hivyo wakamtuma Barnaba aende Antiokia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Habari ya jambo hilo ikasikika kwa lile kanisa la Yerusalemu. Hivyo wakamtuma Barnaba aende Antiokia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Habari ya jambo hilo ikasikika kwa lile kanisa la Yerusalemu. Hivyo wakamtuma Barnaba aende Antiokia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Habari hizi zilipofika masikioni mwa waumini wa Isa huko Yerusalemu, wakamtuma Barnaba aende Antiokia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Habari hizi zilipofika masikioni mwa waumini huko Yerusalemu, wakamtuma Barnaba aende Antiokia. Tazama sura |