Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 11:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Na Petro alipopanda kwenda Yerusalemi, wale walio wa Tohara wakashindana nae, wakisema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Basi, Petro aliporudi Yerusalemu, wale Wayahudi waumini waliopendelea watu wa mataifa mengine watahiriwe, walimlaumu wakisema:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Basi, Petro aliporudi Yerusalemu, wale Wayahudi waumini waliopendelea watu wa mataifa mengine watahiriwe, walimlaumu wakisema:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Basi, Petro aliporudi Yerusalemu, wale Wayahudi waumini waliopendelea watu wa mataifa mengine watahiriwe, walimlaumu wakisema:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Hivyo Petro alipopanda Yerusalemu, waumini waliotahiriwa wakamshutumu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Hivyo Petro alipopanda Yerusalemu, wale wa tohara waliokuwa wameamini wakamshutumu,

Tazama sura Nakili




Matendo 11:2
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na wale waliotahiriwa walioamini, wakashangaa, watu wote waliokuja pamoja na Petro, kwa sababu mataifa nao wameshukiwa kipaji cha Roho Mtakatifu.


Hatta siku ya pili, walipokuwa wakisafiri na kuukaribia mji, Petro alipanda juu darini, kwenda kuomba, panapo saa sita ya mchana:


WAKASHUKA wafu waliotoka Yahudi wakawafundisha ndugu ya kama, Msipotahiriwa na kuifuata desturi ya Musa hamwezi kuokoka.


Lakini baadhi ya madhehebu ya Mafarisayo walioamini wakasimama wakisema, Ni lazima kuwatahiri na kuwaagiza kuishika Torati ya Musa.


Na Yesu aitwae Yusto; hao ni watu wa tohara. Tena hao peke yao ni watendaji wa kazi pamoja nami kwa ajili ya ufalme wa Mungu; nao walikuwa faraja kwangu.


Maana wako wengi wasiotii, wenye maneno yasiyo maana, wadanganyaji, khassa wale waliotahiriwa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo