Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 10:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

34 Petro akafumhua kiuywa chake, akasema, Hakika nimekwisha kutambua ya kuwa Mungu hana upendeleo;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Hapo Petro akaanza kusema: “Sasa nimetambua kwamba hakika Mungu hana ubaguzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Hapo Petro akaanza kusema: “Sasa nimetambua kwamba hakika Mungu hana ubaguzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Hapo Petro akaanza kusema: “Sasa nimetambua kwamba hakika Mungu hana ubaguzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Ndipo Petro akafungua kinywa chake akasema, “Mungu hana upendeleo,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Ndipo Petro akafungua kinywa chake akasema, “Mungu hana upendeleo,

Tazama sura Nakili




Matendo 10:34
23 Marejeleo ya Msalaba  

Wakawatuma kwake wanafunzi wao pamoja na Maherodiano, wakanena, Mwalimu, twajua ya kuwa wewe u mtu wa kweli, ua njia va Mungu waifundisha katika kweli, wala hujali cheo cha mtu, kwa maana hutazami sura za watu.


akafunua kinywa chake, akawafundisha, akinena,


Wakamwuliza, wakinena, Mwalimu, twajua ya kuwa wanena yaliyo kweli na kuyafundisha, wala hujali cheo cha mtu, bali katika kweli waifundisha njia ya Mungu:


Marra nikatuma watu kwako, nawe umefanya vyema kuja. Bassi sasa sisi sote tupo hapa mbele za Mungu, tupate kuyasikiliza maneno yote uliyoamriwa na Mungu.


wala hakufanya tofauti kati yetu sisi na wao, akiwasafisha mioyo yao kwa imani.


Filipo akafunua kinywa chake na akilianzia andiko hili, akamkhubiri khabari njema za Yesu.


kwa maana hapana upendeleo kwa Mungu.


Au Mungu ni Mungu wa Wayahudi tu? Siye Mungu wa mataifa pia? Naam, wa mataifa pia;


Lakini wale wenye sifa kwamba wana cheo, walivyo vyo vyote ni mamoja kwangu; Mungu hapokei uso wa mwana Adamu—nasema, wale wenye sifa hawakuniongezea kitu,


Na ninyi, akina bwana, watendeni yayo bayo, mkiacha kuwaogofya, mkijua ya kuwa yeye aliye Bwana wao na wenu yuko mbinguni, na kwake hapana upendeleo.


Hapo hapana Myunani wala Myahudi, kutahiriwa wala kutokutahiriwa, mshenzi wala Mskuthi, mtumwa wala mungwana, bali Kristo ni yote, na katika wote.


Maana adhulumuye atapata mapato ya udhalimu wake, wala hakuna upendeleo.


NDUGU zangu, msiwe na imani ya Bwana wetu Yesu Kristo, Bwana mwenye utukufu, kwa kupendelea watu.


je! hamkufanya ihtilafu mioyoni mwenu mkawa waamuzi wenye mawazo mabovu?


Bali mkiwapendelea watu, mwafanya dhambi na kuhukumiwa na sharia kama wakosaji.


Na ikiwa mnamwita Baba yeye ahukumuye killa mtu pasipo upendeleo, kwa kadiri ya kazi yake, enendeni kwa khofu kafika wakati wenu wa kukaa hapa kama wageni;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo