Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 10:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Ondoka ushuke ufuatane nao, usione mashaka, kwa maana ni mimi niliyewaleta.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Shuka upesi na wala usisite kwenda pamoja nao kwa maana ni mimi niliyewatuma.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Inuka na ushuke, usisite kwenda nao kwa kuwa mimi nimewatuma.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Inuka na ushuke, usisite kwenda nao kwa kuwa mimi nimewatuma.”

Tazama sura Nakili




Matendo 10:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaambia, Enendem nlimwenguni mwote, mkaikhubiri injili kwa killa kiumbe.


Petro akawashukia wale watu waliotumwa kwake na Kornelio, akanena, Mimi ndiye mnaemtaka. Mmekuja kwa sababu gani?


Roho akaniambia nifuatane nao, nisione mashaka. Ndugu hawa sita nao wakaenda pamoja nami, tukaingia katika nyumba ya mtu yule:


Bassi watu hao, wakiisha kupelekwa na Roho Mtakatifu wakatelemkia Selukia, na kutoka huko wakasafiri baharini hatta Kupro.


Malaika wa Bwana akasema na Filipo, akamwambia, Ondoka uende upande wa kusini hatta njia ile itelemkayo kutoka Yemsalemi kwenda Gaza; nayo ni jangwa.


Lakini Bwana akamwambia, Shika njia; kwa maana huyu ni chombo kiteule kwangu, alichukue Jina langu mbele ya mataifa, na wafalme, na wana wa Israeli.


Anania akaenda zake, akaingia mle nyumbani; akamwekea mikono akisema, Ndugu Saul, Bwana amenipeleka, Yesu, yeye aliyekutokea katika njia uliyoijia, upate kuona tena, ukajazwe Roho Mtakatifu.


Illa aombe kwa imani, pasipo shaka lo lote; maana mwenye mashaka ni kama wimbi la bahari lililochukuliwa kwa upepo, na kupeperushwa huko na huko.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo