Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 10:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Sauti ikamjia marra ya pili, Kilichotakaswa na Mungu, usikiite najis.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Ile sauti ikasikika tena ikimwambia: “Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Ile sauti ikasikika tena ikimwambia: “Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Ile sauti ikasikika tena ikimwambia: “Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Ile sauti ikasema naye mara ya pili, “Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Ile sauti ikasema naye mara ya pili, “Usikiite najisi kitu chochote Mungu alichokitakasa.”

Tazama sura Nakili




Matendo 10:15
17 Marejeleo ya Msalaba  

Sicho kiingiacho kinywani kimtiacho najis mwana Adamu; bali kitokacho kinywani ndicho kimtiacho najis mwana Adamu.


kwa sababu hakimwingii moyoni, illa tumboni tu; kiisha chatoka kwenda chooni? Kwa kusema hivi alivitakasa vyakula vyote.


Jambo hili likatendeka marra tatu: kiisha kile chombo kikapokewa tena mbinguni.


Akawaambia, Mnajua ya kuwa si halali mtu aliye Myahudi aongee na mtu aliye wa taifa lingine wala kumwendea, hikini Mungu amenionya, nisimwite mtu awae yote mchafu wala najis.


Sauti ikanijibu marra ya pili kutoka mbinguni, Alivyovitakasa Mungu, usivinene wewe najis.


balituwaandikie wajiepushe na unajisi wa sanamu na asharati na nyama zilizosongwa na damu.


mjiepushe na vitu vilivyotolewa sadaka kwa sanamu, na damu, na nyama zilizosongwa, na asharati. Mkijizuia na hayo, mtafanya vema. Salamu.


wala hakufanya tofauti kati yetu sisi na wao, akiwasafisha mioyo yao kwa imani.


Najua, tena nimehakikishwa sana katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najis asili yake, lakini kwake huyu akionae kitu kuwa najis, kwake huyo kitu kile ni najis.


Kwa ajili ya chakula usiiharibu kazi ya Mungu. Vyote ni safi; bali ni vibaya mtu kula akajikwaza.


Killa kitu kiuzwacho sokoni kulani, bila kuulizauliza, kwa ajili ya dhamiri;


Vitu vyote ni sali kwao walio safi: lakini hapana kilicho safi kwa walio najis, wasioamini, bali akili zao na nia zao pia zimekuwa najis.


Shinikizo lile likakanyagwa nje ya mji, damu ikatoka katika shinikizo mpaka khatamu za farasi, mwendo wa mastadio elfu na sita mia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo