Matendo 10:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192114 Petro akasema, Hasha, Bwana, kwa maana sijala kamwe kitu kilicho kichafu au najis. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema14 Petro akajibu, “La, Bwana; mimi sijaonja kamwe chochote ambacho ni najisi au kichafu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND14 Petro akajibu, “La, Bwana; mimi sijaonja kamwe chochote ambacho ni najisi au kichafu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza14 Petro akajibu, “La, Bwana; mimi sijaonja kamwe chochote ambacho ni najisi au kichafu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu14 Petro akajibu, “La hasha, Bwana! Sijawahi kamwe kula kitu chochote kilicho najisi.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu14 Petro akajibu, “La hasha, Bwana Mwenyezi! Sijawahi kamwe kula kitu chochote kilicho najisi.” Tazama sura |