Matendo 1:5 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19215 ya kwamba Yohana alibatiza kwa maji, bali ninyi mtabatizwa katika Roho Mtakatifu baada ya siku hizi si nyingi. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 Kwani Yohane alibatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache, nyinyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 Kwani Yohane alibatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache, nyinyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 Kwani Yohane alibatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache, nyinyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 Yahya aliwabatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache mtabatizwa kwa Roho wa Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 Yahya aliwabatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache mtabatizwa kwa Roho wa Mwenyezi Mungu.” Tazama sura |