Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 1:25 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

25 atwae sehemu yake ya khuduma hii na utume huu, alioukosa Yuda aende zake mahali pake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

25 ili achukue nafasi hii ya huduma ya kitume aliyoacha Yuda akaenda mahali pake mwenyewe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

25 ili achukue nafasi hii ya huduma ya kitume aliyoacha Yuda akaenda mahali pake mwenyewe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

25 ili achukue nafasi hii ya huduma ya kitume aliyoacha Yuda akaenda mahali pake mwenyewe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

25 ili achukue nafasi ya huduma ya utume, ambayo Yuda aliiacha ili aende anapostahili.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

25 ili achukue nafasi ya huduma ya utume ambayo Yuda aliiacha ili aende mahali pake mwenyewe.”

Tazama sura Nakili




Matendo 1:25
15 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha atawaambia na wale walio mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, kwenda katika moto wa milele, aliowekewa tayari Shetani na malaika zake:


Na hawo watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele: bali wenye haki katika uzima wa milele.


Mwana wa Adamu aenda zake, kama alivyoandikiwa: lakini ole wake mtu yule ambae Mwana wa Adamu anasalitiwa nae! Ingekuwa kheri kwake mtu yule kama asingalizaliwa.


Na baada ya lile tonge, Shetani akamwingia. Bassi Yesu akamwambia, Uyatendayo, yatende upesi.


Nilipokuwa pamoja nao ulimwenguni, mimi naliwalinda kwa jina lako: wale ulionipa naliwatunza, wala hapana mmojawapo wao aliyepotea, illa yule mwana wa upotevu maandiko yapate kutimizwa.


ambae katika yeye tulipokea neema na utume illi mataifa yote wapate kujitiisha kwa imani, kwa ajili ya jina lake;


Kwa maana ikiwa mimi si mtume kwa wengine, illakini ni mtume kwenu ninyi; kwa maana muhuri ya utume wangu ni ninyi katika Bwana.


(maana yeye aliyemwezesha Petro kuwa mtume wa waliotahiriwa ndiye aliyeniwezesha kwenda kwa mataifa);


Tufuate:

Matangazo


Matangazo