Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Matendo 1:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Hawa wote walikuwa wakidumu kwa moyo mmoja katika kuomba, pamoja nao wanawake, na Mariamu mama wake Yesu, na ndugu zake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Hawa wote walikusanyika pamoja kusali, pamoja na wanawake kadha wa kadha, na Maria mama yake Yesu, na ndugu zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Hawa wote walikusanyika pamoja kusali, pamoja na wanawake kadha wa kadha, na Maria mama yake Yesu, na ndugu zake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Hawa wote walikusanyika pamoja kusali, pamoja na wanawake kadha wa kadha, na Maria mama yake Yesu, na ndugu zake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Hawa wote waliungana pamoja katika maombi. Pia walikuwepo wanawake kadhaa, na Mariamu mama yake Isa, na ndugu zake Isa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Hawa wote waliungana pamoja katika maombi. Pamoja nao walikuwepo wanawake kadha, na Mariamu mama yake Isa, pamoja na ndugu zake Isa.

Tazama sura Nakili




Matendo 1:14
27 Marejeleo ya Msalaba  

Alipokuwa katika kusema na makutano, mama yake na ndugu zake walikuwa wakisimama nje, wakitaka kusema nae.


Na yo yote mtakayoyaomba katika kusali, mkiamini, mtapokea.


Na palikuwa na wanawake wengi huko wakitazama kwa mbali, hawo ndio waliomfuata Yesu toka Galilaya, na kumtumikia.


Palikuwako na wanawake wakitazama kwa mbali; katika hawa alikuwa Mariamu Magdalene, na Mariamu mama wa Yakobo mdogo na wa Yose, na Salome:


HATTA sabato ilipokwisha kupita, Mariamu Magdalene na Mariamu wa Yakobo na Salome walinunua manukato wapate kwenda kumpaka.


Bassi, ikiwa ninyi mlio waovu mnajua kuwapa watoto wenu vipawa vyema, Baba aliye mbinguni, je! hatazidi na kuwapa wote wamwombao Roho Mtakatifu?


AKAWAAMBIA na mfano ya kama imewapasa kumwomba Mungu siku zote wala wasikate tamaa,


Marafiki zake wote wakasimama kwa mbali, nao wanawake waliofuatana nae toka Galilaya, wakiangalia haya,


Wanawake wakafuatana nao, wale waliokuja pamoja nae kutoka Galilaya, wakalitazama kaburi na jinsi ulivyowekwa mwili wake. Wakarudi wakafanya tayari manukato na marhamu.


Na hao waliowaambia mitume mambo haya ni Mariamu Magdalene, na Yoanna, na Mariamu mama yake Yakobo na wengine waliokuwa pamoja nao.


Wakaondoka saa ileile, wakarudi Yerusalemi, wakawakuta wale edashara wamekusanyika, nao waliokuwa pamoja nao,


wakawa daima ndani ya hekalu, wakimsifu Mungu na kumhimidi. Amin.


Akapewa khabari na watu, waliosema, Mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kukuona.


HATTA ilipotimia siku ya Pentekote walikuwako wote pamoja mahali pamoja.


Wakawa wakidumu katika fundisho la mitume, na katika ushirika, na katika kuumega mkate, na katika kusali.


Na siku zote kwa moyo mmoja walidumu ndani ya hekalu, wakimega mkate nyumba kwa nyumba, na kupokea chakula chao kwa furaha na kwa moyo mweupe,


na sisi tutadumu katika kumwomba Mungu na kulikhudumia Neno lake.


kwa tumaini, mkifurahi; katika shidda, mkivumilia; katika kusali, mkidumu;


Kwa hiyo yeye anenae kwa lugha na aombe apewe kufasiri.


kwa sala zote na kuomha mkisali killa wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo, mkifanya juhudi sana, na kuwaombea watakatifu wote,


Dumuni sana katika kuomba, mkikesha katika kuomba huku na shukrani,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo