Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 9:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Maana yake hakujua la kunena, kwa kuwa waliingiwa na khofu nyingi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Yeye na wenzake waliogopa hata hakujua la kusema.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Petro hakujua aseme nini kwa maana yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Petro hakujua aseme nini kwa maana yeye na wenzake walikuwa wameogopa sana.

Tazama sura Nakili




Marko 9:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Petro akajibu, akamwambia Yesu, Rabbi, ni vizuri sisi kuwapo hapa: na tufanye vibanda vitatu, kimoja chako wewe, kimoja cha Musa, na kimoja eha Eliya.


Likawako wingu, likawatia uvuli: sauti ikatoka katika lile wingu, Huyu ui Mwana wangu, mpendwa wangu, msikieni yeye.


Ikawa hawo walipokuwa wakijitenga nae, Petro akamwambia Yesu, Bwana, ni vizuri sisi kuwapo hapa: na tufanye vibanda vitatu, kimoja chako wewe, kimoja cha Musa, kimoja cha Eliya: nae hajui asemalo.


Na nilipomwona nalianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kuume juu yangu, akiniambia, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo