Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 9:44 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

44 ambao funza wao hafi, wala moto hauzimiki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

44 Humo, wadudu wake hawafi na moto hauzimiki.]

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

44 Humo, wadudu wake hawafi na moto hauzimiki.]

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

44 Ni mahali ambako funza wao hawafi wala moto wao hauzimiki.]

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

44 Mahali ambako funza wake hawafi wala moto wake hauzimiki.]

Tazama sura Nakili




Marko 9:44
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha atawaambia na wale walio mkono wake wa kushoto, Ondokeni kwangu, mliolaaniwa, kwenda katika moto wa milele, aliowekewa tayari Shetani na malaika zake:


Na hawo watakwenda zao kuingia katika adhabu ya milele: bali wenye haki katika uzima wa milele.


Pepeto lake li mkononi mwake, nae ataitakasa sana sakafu yake; atakusanya nganu yake ghalani, bali makapi atayateketeza kwa moto usiozimika.


Na mkono wako ukikukosesha, ukate; ni kheri kuiingia katika uzima u kilema, kuliko kuwa na mikono miwili, na kwenda zako jehannum, kwenye moto usiozimika;


Na mguu wako ukikukosesha, ukate: ni kheri kuingia katika uzima, umepungukiwa mguu, kuliko kuwa na miguu miwili, na kutupwa katika jebannum, katika moto usiozimika;


ambapo funza wao hafi, wala moto hauzimiki.


watakaoadhibiwa kwa uharibifu wa milele, kutengwa na uso wa Bwana na na utukufu wa nguvu zake,


yeye nae atakunywa mvinyo ya hasira ya Mungu iliyotengenezwa pasipo kuchanganywa na maji katika kikombe cha ghadhabu yake, nae ataumwa kwa moto na kiberiti mbele ya malaika walakalifu na mbele za Mwana kondoo.


Na yule Msingiziaji, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na kiberiti, alimo yule nyama na yule nabii wa nwongo. Na wataumwa mchana na usiku hatta milele na milele.


Na ikiwa mtu hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile ziwa la moto.


Bali waoga, na wasioamini, na wachukizao, na wauaji, na wazinzi, na wachawi, nae waabuduo sanamu, na wawongo wote, sehemu yao ni katika lile ziwa liwakalo moto na kiberiti. Hii ndio mauti ya pili.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo