Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 9:32 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

32 Nao hawakulifahamu neno lile, wakaogopa kumwuliza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Wanafunzi hawakufahamu jambo hilo. Wakaogopa kumwuliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Wanafunzi hawakufahamu jambo hilo. Wakaogopa kumwuliza.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Wanafunzi hawakufahamu jambo hilo. Wakaogopa kumwuliza.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Lakini wao hawakuelewa kile alimaanisha, nao waliogopa kumuuliza maana yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Lakini wao hawakuelewa kile alimaanisha, nao waliogopa kumuuliza maana yake.

Tazama sura Nakili




Marko 9:32
12 Marejeleo ya Msalaba  

Baadae akaonekana na wale edashara walipokuwa wakila, akawalaumu kwa kutoamini kwao na ugumu wa mioyo yao, kwa kuwa hawakuwasadiki waliomwona alipofufuka.


Akawaambia, Hivi na ninyi hamna akili? Hamfahamu ya kuwa killa kitu kilicho nje ya mtu, kikimwingia, hakiwezi kumtia najis;


Akageuka akawatazama wanafunzi wake, akamkemea Petro, akinena, Enenda zako nyuma yangu, Shetani; maana huyawazi yaliyo ya Mungu, hali ya wana Adamu.


Wakalishika neno lile, wakiulizana wao kwa wao, Huku kufufuka katika wafu maana yake nini?


Nao hawakufahamu haya hatta kidogo, neno hili likawa limefichwa kwao, wala hawakuyajua yaliyonenwa.


Wala hawakuelewa na neno lile alilowaanibia.


Ndipo akaamsha akili zao, wapate kuyatambua maandiko matakatifu.


Lakini hawakulifuhamu neno lile, likawa limefichwa kwao wasipate kulitambua. Wakaogopa kumwuliza maana ya neno lile.


Mambo haya wanafunzi wake hawakuyafahamu hapo kwanza; lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walikumbuka ya kwamba ameandikiwa haya na ya kwamba walimtendea haya.


Yesu alifahamu ya kwamba walitaka kumwuliza akawaambia, Hili ndilo mnalotafuta ninyi kwa ninyi, ya kuwa nalisema, Bado kitambo nanyi hamnioni, na bado kitambo na mtaniona?


Marra hiyo wakaja wanafunzi wake wakastaajabu kwa sababu alikuwa akisema na mwanamke; lakini hapana aliyesema, Unatafuta nini? au, Kwa nini unasema nae?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo