Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 9:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

22 Na marra nyingi amemtupa katika moto, na katika maji, amwangamize; lakini ukiweza neno, utuhurumie, utusaidie.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Na mara nyingi pepo huyo amemwangusha motoni na majini, ili amwangamize kabisa. Basi, ikiwa waweza, utuhurumie na kutusaidia!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Na mara nyingi pepo huyo amemwangusha motoni na majini, ili amwangamize kabisa. Basi, ikiwa waweza, utuhurumie na kutusaidia!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Na mara nyingi pepo huyo amemwangusha motoni na majini, ili amwangamize kabisa. Basi, ikiwa waweza, utuhurumie na kutusaidia!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Mara kwa mara huyo pepo mchafu amekuwa akimwangusha kwenye moto au kwenye maji ili kumwangamiza. Lakini kama unaweza kufanya jambo lolote, tafadhali tuhurumie utusaidie.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Mara kwa mara huyo pepo mchafu amekuwa akimwangusha kwenye moto au kwenye maji ili kumwangamiza. Lakini kama unaweza kufanya jambo lolote, tafadhali tuhurumie utusaidie.”

Tazama sura Nakili




Marko 9:22
12 Marejeleo ya Msalaba  

Marra Yesu akanyosha mkono wake, akamshika, akamwambia, Ewe mwenye imani haba, mbona uliona shaka?


Bwana, mrehemu mwana wangu, kwa kuwa hushikwa na kifafa, na kuteswa vibaya: maana marra nyingi huanguka motoni, na marra nyingi majini.


Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; marra macho yao yakapata kuona, wakamfuata.


Akaja mwenye ukoma akamsujudu, akinena, Bwana, ukitaka, waweza kunitakasa.


Alipolika nyumbani, wale vipofu wakamwendea: Yesu akawaambia. Mnaamini kwamba naweza kufanya haya? Wakamwambia, Naam, Bwana.


Yesu hakumrukhusu, bali alimwambia, Enenda zako nyumbani kwako, kwa watu wa kwenu, kawakhubiri ni mambo gani makuu aliyokutendea Bwana, na jinsi alivyokurehemu.


Akamwuliza baba yake, Tangu wakati gani amepatwa na haya? Akasema, Tangu utoto.


Yesu akamwambia, Ukiweza kuamini: yote yawezekana kwake aaminiye.


Na Bwana alipomwona, akamhurumia, akamwambia, Usilie.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo