Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 9:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Mtu mmoja katika makutano akamjibu, Nalimieta mwana wangu kwako, ana pepo bubu:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Hapo mtu mmoja katika ule umati wa watu akamjibu, “Mwalimu, nimemleta mwanangu kwako, ana pepo aliyemfanya kuwa bubu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Hapo mtu mmoja katika ule umati wa watu akamjibu, “Mwalimu, nimemleta mwanangu kwako, ana pepo aliyemfanya kuwa bubu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Hapo mtu mmoja katika ule umati wa watu akamjibu, “Mwalimu, nimemleta mwanangu kwako, ana pepo aliyemfanya kuwa bubu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Mtu mmoja miongoni mwa umati ule wa watu akajibu, “Mwalimu, nilimleta kwako mwanangu ambaye ana pepo mchafu anayemfanya asiweze kuongea.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Mtu mmoja miongoni mwa ule umati wa watu akajibu, “Mwalimu, nilimleta kwako mwanangu ambaye ana pepo mchafu anayemfanya asiweze kuongea.

Tazama sura Nakili




Marko 9:17
12 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati ule akaletewa mtu mwenye pepo, kipofu na bubu; akamponya, hatta yule kipofu na bubu akasema na kuona.


Bwana, mrehemu mwana wangu, kwa kuwa hushikwa na kifafa, na kuteswa vibaya: maana marra nyingi huanguka motoni, na marra nyingi majini.


Hatta wale walipokuwa wakitoka, wakamletea mtu bubu mwenye pepo.


Wakamletea watoto wachanga illi awaguse: wanafunzi wake wakawakemea wao waliowaleta.


akimsihi sana, akinena. Binti yangu mdogo yu katika kufa: nakuomba nje, nweke mkono wako juu yake, apate kupona, nae ataishi.


(Na vule mwanamke ni Myunani, kabila yake Msurofenissa). Akamwomba amfukuze pepo katika binti yake.


Akawauliza wale waandishi, Nini mnajadiliana nao?


na killa ampagaapo, humrarua: nikasema na wanafunzi wako wapate kumfukuza, wasiweze.


Nae Yesu akiona ya kuwa makutano yanakusanyika mbio, akamkemea yule pepo mchafu, akamwambia, Ewe pepo bubu ua kiziwi, mimi nakuamuru, mtoke, wala usimwingie tena.


Na Yesu alikuwa akifukuza pepo bubu. Ikawa yule pepo alipotoka, bubu akasema, makutano wakastaajabu.


Na tazama, mtu mmoja katika ule mkutano akapaaza sauti yake, akisema, Mwalimu, nakuomha, mwangalie mwanangu, kwa kuwa yeye ni mwanangu pekee;


Huyu aliposikia ya kwamba Yesu amekuja kutoka Yahudi hatta Galilaya, akamwendea, akamsihi ashuke akamponye mwana wake; kwa maana alikuwa kufani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo