Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 9:11 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

11 Wakamhoji, wakinena, Waandishi wanena ya kuwa imempasa Eliya kuja kwanza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Wakamwuliza Yesu, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Wakamwuliza Yesu, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Wakamwuliza Yesu, “Mbona waalimu wa sheria wanasema ni lazima kwanza Elia aje?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Wakamuuliza, “Kwa nini walimu wa Torati husema kwamba ni lazima Ilya aje kwanza?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Wakamuuliza, “Kwa nini walimu wa Torati husema kwamba ni lazima Ilya aje kwanza?”

Tazama sura Nakili




Marko 9:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na ikiwa mantaka kukubali, yeye ndiye Elia atakaekuja.


Wakalishika neno lile, wakiulizana wao kwa wao, Huku kufufuka katika wafu maana yake nini?


Wakatokewa na Eliya pamoja na Musa, nao walikuwa wakisemezana na Yesu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo