Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 8:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Akawaambia, Imekuwaje hamjafahamu?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Basi, akawaambia, “Na bado hamjaelewa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Basi, akawaambia, “Na bado hamjaelewa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Basi, akawaambia, “Na bado hamjaelewa?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Ndipo akawauliza, “Je, bado hamwelewi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Ndipo akawauliza, “Je, bado hamwelewi?”

Tazama sura Nakili




Marko 8:21
10 Marejeleo ya Msalaba  

kwa maana hawakufahamu khabari za ile mikate, walakini mioyo yao ilikuwa migumu.


Akaugua rohoni mwake, akanena, Mbona kizazi hiki chatafuta ishara? Amin, nawaambieni, Hakitapewa ishara kizazi hiki.


Yesu akafahamu, akawaambia, Mbona mnabishana kwa sababu hamna mikate? Hamfahamu bado, wala hamjaelewa? Mioyo yenu i migumu hatta sasa?


Wakalika Bethsaida, wakamletea kipofu, wakamsihi amguse.


Akamjibu, akanena, Ee kizazi kisichoamini, niwe kwenu hatta lini? nichukuliane nanyi hatta lini? Mleteni kwangu.


Yesu akamwambia, Nimekuwa pamoja nanyi siku hizi zote wala hukunijua, Filipo? Aliyeniona mimi, amemwona Baba; wasemaje wewe, Tuonyeshe Baba?


Erevukeui kama ipasavyo, wala insiteude dhambi; kwa maana wengine hawamfahamu Mungu. Ninasema haya niwafedheheshe.


Nasema haya nipate kuwatahayarisheni. Je! ndivyo hivyo, kwamba kwenu hakuna hatta mtu mmoja mwenye hekima, awezae kukata maneno ya ndugu zake?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo