Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 8:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Nawahurumia makutano kwa sababu yapata siku tatu wamekaa nami, wala hawana kitu cha kula:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Nawaonea huruma watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa siku tatu, wala hawana chakula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Nawaonea huruma watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa siku tatu, wala hawana chakula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Nawaonea huruma watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa siku tatu, wala hawana chakula.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Ninahurumia umati huu wa watu, kwa sababu sasa wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu na hawana chakula.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Ninauhurumia huu umati wa watu, kwa sababu sasa wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu na hawana chakula.

Tazama sura Nakili




Marko 8:2
23 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akatoka, akaona makutano mengi, akawahurumia, akawaponya wagonjwa wao.


Yesu akawahurumia, akawagusa macho yao; marra macho yao yakapata kuona, wakamfuata.


Na alipowaona makutano, akawahurumia, kwa maana walikuwa wamechoka na kutawanyika kama kondoo wasio na mchunga.


Yesu akamhurumia, akanyosha mkono wake, akamgusa, akamwambia, Nataka, takasika.


Yesu hakumrukhusu, bali alimwambia, Enenda zako nyumbani kwako, kwa watu wa kwenu, kawakhubiri ni mambo gani makuu aliyokutendea Bwana, na jinsi alivyokurehemu.


Wakaenda zao chomboni, mahali pasipo watu, kwa faragha.


Yesu aliposhuka chomboni, akaona makutano mengi, akawahurumia, kwa sababu walikuwa kana kondoo wasio mchunga; akaanza kuwafundisha mengi.


hatta nikiwaaga waende zao nyumbani kwao wanafunga, watazimia njiani: na baadhi yao wametoka mbali.


Na marra nyingi amemtupa katika moto, na katika maji, amwangamize; lakini ukiweza neno, utuhurumie, utusaidie.


Akaondoka, akaenda kwa baba yake. Alipokuwa angali mbali, baba yake akamwona, akamhurumia, akapiga mbio, akamwangukia shingoni, akambusu sana.


Na Bwana alipomwona, akamhurumia, akamwambia, Usilie.


Kwa hivyo ilimpasa kufananishwa na ndugu zake katika mambo yote, apate kuwa kuhani mkuu mwenye rehema, mwaminifu katika mambo ya Mungu, illi afanye suluhu kwa dhambi za watu wake.


Kwa kuwa hatuna kuhani mkuu asiyeweza kuyachukua mambo yetu ya udhaifu; bali yeye alijuribiwa sawa sawa na sisi katika mambo yote, bila dhambi.


awezae kuwachukulia wao wasiojua na wenye kupotea, kwa kuwa yeye mwenyewe yu katika liali ya udhaifu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo