Marko 8:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19212 Nawahurumia makutano kwa sababu yapata siku tatu wamekaa nami, wala hawana kitu cha kula: Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema2 “Nawaonea huruma watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa siku tatu, wala hawana chakula. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND2 “Nawaonea huruma watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa siku tatu, wala hawana chakula. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza2 “Nawaonea huruma watu hawa kwa sababu wamekuwa nami kwa siku tatu, wala hawana chakula. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu2 “Ninahurumia umati huu wa watu, kwa sababu sasa wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu na hawana chakula. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu2 “Ninauhurumia huu umati wa watu, kwa sababu sasa wamekuwa nami kwa muda wa siku tatu na hawana chakula. Tazama sura |