Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Marko 8:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

16 Wakabishana wao kwa wao, kwa kuwa hawana mikate.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Wanafunzi wakaanza kujadiliana wao kwa wao, “Anasema hivyo kwa kuwa hatuna mikate.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Wakajadiliana wao kwa wao, na kusema, “Anasema hivi kwa sababu hatukuleta mikate.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Wakajadiliana wao kwa wao, na kusema, “Anasema hivi kwa sababu hatukuleta mikate.”

Tazama sura Nakili




Marko 8:16
5 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaagiza, akisema, Angalieni, jihadharini na chachu ya Mafarisayo na chachu ya Herode.


Yesu akafahamu, akawaambia, Mbona mnabishana kwa sababu hamna mikate? Hamfahamu bado, wala hamjaelewa? Mioyo yenu i migumu hatta sasa?


Wakasemezana wao kwa wao, wakinena, Kama tukisema, Toka mbinguni, atasema, Mbona hamkumwamini bassi?


Yakawaingia mabishano, ni nani atakaekuwa mkubwa miongoni mwao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo